Wednesday, 1 October 2014

Hawa ni viongozi wa PSA yaani Umoja wa Wanafunzi wa Kipentekoste ambao walichaguliwa Jumapili ya tarehe 28/09/2014 kuongoza tawi la Iringa Girls baada ya uongozi ambao ulikuwa ukiongozwa na mwenyekiti Anna Kaguo kustaafu baada ya kutumika kwa muda wa mwaka mmoja. Tunawatakia uongozi mwema na Mungu awabariki katika kuchaguliwa kwenu na muifanye kazi ya Mungu ipasavyo hapa shuleni Iringa Zoooooooooooo

No comments:

Post a Comment